Bismillah
 

WELCOME TO

 
Muhammad

MADRASA AL-HIDAYA

Allah
 

MUSLIM SCHOOL OF RIGHT GUIDANCE

 

Al-Fatiha

Allah

Prophet Muhammad

Qur'an

Hadith

Home

What's New

Total Site Contents

Al-Fatiha

 

HADITHI ZA MTUME MUHAMMAD
(Amani iwe juu yake)

TABIA NZURI

1. Imepokewa kutoka kwa Abu Hurayrah (ر) kuwa alisema, “Mtume (ص ) alikuwa anapopiga chafya huweka mkono au kitambaa kwenye kinywa chake ili kuipunguza sauti ya chafya”. (Abu Dawud na Tirmidhi)

2. Imepokewa kutoka kwa Abu Said Al-Khudri (ر ) kuwa alisema, Mtume (ص ) amesema, “Anapopiga miayo mmoja wenu basi afunike kinywa chake kwa mkono, la sivyo shetani ataingia kinywani”. (kitu chochote kibaya). (Muslim)

 

 

 

 

 

 

 

 


HOME

DOOR 

WINDOWS